Genge hatari limeibuka Dar ambapo limeua kinyama wasichana wawili marafiki na miili yao kutupwa maeneo tofauti.
Wasichana waliouawa ni Wanze Makongoro mwenye miak na23 ambaye ni mpwa wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mecky Sadicky na Jackline Masanja ‘Salha’ aliyewahi kusikika katika ipindi chanjiapanda kinachorushwa na kituo cha ClaudsFm.
Usiku wa kuamkia November13 inadaiwa Wanze aliwaaga marafiki zake kuwa anakwenda kutengeneza simu Mlimani City na hakuweza kurudi tena hadi mwili wake ulipookotwa katika mto Msimbazi na kwenda kuhifadhiwa katika hospitali ya Muhimbili.
Kutokanana tukio hilo jeshi la Polisi Dar limeingia katika lawama kupitia kwa ndugu wa marehemu huyo kwani tangu msichana huyo alipopotea na ndugu kutoa taarifa hawakuweza kupata taarifa yoyote hadi walipofika Muhimbili na kukuta mwili wake.
Wasichana waliouawa ni Wanze Makongoro mwenye miak na23 ambaye ni mpwa wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mecky Sadicky na Jackline Masanja ‘Salha’ aliyewahi kusikika katika ipindi chanjiapanda kinachorushwa na kituo cha ClaudsFm.
Usiku wa kuamkia November13 inadaiwa Wanze aliwaaga marafiki zake kuwa anakwenda kutengeneza simu Mlimani City na hakuweza kurudi tena hadi mwili wake ulipookotwa katika mto Msimbazi na kwenda kuhifadhiwa katika hospitali ya Muhimbili.
Kutokanana tukio hilo jeshi la Polisi Dar limeingia katika lawama kupitia kwa ndugu wa marehemu huyo kwani tangu msichana huyo alipopotea na ndugu kutoa taarifa hawakuweza kupata taarifa yoyote hadi walipofika Muhimbili na kukuta mwili wake.
0 comments:
Post a Comment